Search results

  1. R

    Biashara ya pharmacy

    Nashukuru kwa ushauri lugha sio zetu hizi sometime tunakosea, ahsante kwa ushauri
  2. R

    Biashara ya pharmacy

    yaleyale ya kukurupuka, watanzania bwana, Soma habari yote uielewe au rudia tena, hii paragraph umeisoma kweli? miezi sita ni ushauri wa fedha anayotakiwa kuwa ameiandaa kumlipa walau kwa kipindi hicho huku akijiboresha katika kukua kibiashara, hii haina maana kuwa utampatia yote. Ni kuwa na...
  3. R

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    TIPS: JINSI YA KUANZISHA BIASHARA YA PHARMACY KWA UFUPI by sonaderm, Nov 23, 2015. Maelezo kifupi namna mtu anaweza kuanzisha hatua kwa hatua biashara ya Dawa au kama inavyojulikana na wengi yaani Retail Pharmacy. Lakini kabla sijaenda moja kwa moja kwenye hatua hizo, ni muhimu basi kuweza...
  4. R

    Biashara ya pharmacy

    soma hii lianzishwa na sonaderm humu JF inaweza kukufaa TIPS: JINSI YA KUANZISHA BIASHARA YA PHARMACY KWA UFUPI by sonaderm, Nov 23, 2015. Maelezo kifupi namna mtu anaweza kuanzisha hatua kwa hatua biashara ya Dawa au kama inavyojulikana na wengi yaani Retail Pharmacy. Lakini kabla sijaenda...
  5. R

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Za kawaida zinazotumiwa na binadamu kwa ajili ya kujitibu ila sio kwamba ukizitumia vibaya haziui.
  6. R

    Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    uimara wa matofali unategemea na aina ya mchanga, aina ya maji unayotumia, aina ya cement, machine inayotumika kuyatengeneza na umwagiliaji wa maji baada ya kufyatua hasa hasa siku sita za kwanza tokea kufyatua. Mchanga wa kolongoni au unaopatikana kwa kuuuzoa mitaani ni tofauti sana na ule...
  7. R

    Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

    Hongera, sio haba, sio sawa na kukaa bure.
  8. R

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Chukua muda kuipitia thread yote hii kuna watu waliwahi kulima huko kigamboni wanweza kukusaidia humu
  9. R

    Muhtasari wa kilimo cha baadhi ya mazao jamii ya kunde

    Mkuu hizo ni stori za watu tu ukweli halisi haupo hivyo, hebu soma hapa labda mimi naona vibaya, pitia hii link uone halihalisi CHANGAMOTO YA KUKOSA SOKO LA UHAKIKA KWA WAKULIMA CHANZO CHA UMASIKINI WAKULIMA wa zao la dengu katika kijiji cha Amani kata ya Salawe halmashauri ya wilaya ya...
  10. R

    Kwanini DSTV ni ghali sana?

    hao wote kuwa na vitu hivi bado sana, mwenye uwezo aangalie DSTV kwa raha zake asiye na uwezo abakie na hivi videcoder vya kibongobongo maana biashara huria hata nguo kariakoo inatofautiana na inavyouzwa posta hata kama quality ni ileile, ukiuliza utaambiwa kodi ni tofauti. ndio inavyokuwa kwa...
  11. R

    Natafuta mtaalamu wa kuchimba kisima cha Umwagiliaji

    m mkuu Mungu akubariki sana kwa hili maana umenifundisha kitu na jamii kwa ujumla, hebu tupatie huo mchanganuo kwa maeneo ya Singida hasa maeneo ya Mkarama huko au kiomboi ili nijipime maana long plani yangu ni kufanya hivi vitu baadae ili nianzishe kilimo cha umwagiliaji. ahsante natanguliza...
  12. R

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Ehee haya ndio maneno yanayotakiwa, mkuu Magnificient ubarikiwe sana kwa elimu uliyoitoa hapa maana hujui tu imesaidia wengi kaka. Mimi binafsi nitakutafuta kupitia PM ili unitumie hizo documents maana nategemea miezi kama mitano ijayo nianze hii biashara, ubarikiwe sana kwa msaada wako kwa jamii.
  13. R

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Huwa nasikitika sana ninapoona mtu anaanzisha thread kama hii but hakuna mtu anayechangia , unakuta mtu yuko bissy anachangia siasa kutwa nzima thread imejaa watu wanajadili zito, mbowe, JPM, baba ridh1 etc huku tunaacha kuchangia ishu kama hizi za maana ili tujikwamue, ni hatari sana.
  14. R

    Msaada kuhusu biashara ya phones, phone accessories na vifaa vya umeme

    Haya hebu toorodheshee vifaa ulivyoanza navyo na mtaji ulikuwaje, ulifanyanyaje na pia tuelezee mazuri na mabaya pia na changamoto mbalimbali ambazo ulikutana nazo ili na wengine tujifunze maana JF ni darasa huru la kila mtu. nadhani maelezo yAKO NI MUHIMU KWETU
  15. R

    Buni wazo la biashara mtaji juu yangu

    umeongea kwa hekima sana, Mungu akubariki. huo ndio ukweli pia ingewezekana kushauriana kwa hekima kuliko kutukanana jamani haipendezi. hapa tunashauriana na kupeana mawazo mbadala yenye lengo la kujenga kuliko kubomoa.
  16. R

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    ndugu kilimo kinaitaji timing na kufuata taratibu zake zote, pia kua makini na madalali hawa wanaletaga presha zisizo na msingi, hawajui ugumu wa kazi ulivyo na gharama zake wao wanachojua ni kupiga faida tu kuijanjaujanja. Usife moyo Mungu atakupigania, hayo ndio majaribu, jipange upya nenda...
  17. R

    Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    kweli na mimi kipindi flani nilikwenda access bank wakaniambia hivyo, ni vema kuwaona na kuwauliza kisha waambie wakupigie esabu kabisa kua utaondoka na nini baada ya muda uliouchagua kufika, hawana tatizo watakusaidia
  18. R

    Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    fixed account huwa ni kiasi ulichoweka x muda x rate/100 mfano unataka kuweka mil 100 fixed account kwa mwaka (miezi 12) kwa rate say 8% calculations inakua 100,000,000 x 12/12 x 8/100 = 1,000,000/= hii uliyoipata toa 10% yake kama kodi inaenda serikalini. 10/100 x 1000000=100,000/= utabakiwa...
  19. R

    Nimefarijika sana na site hii, naomba ushauri wa mazao ya muda mfupi Fukayosi!

    tunasubili feedback(mrejesho) maana wewe ni mpiganaji
Back
Top Bottom