Hivi chichiem mbona hawafanyi maandamano hata kidogo,au wao wanaona inji iko sawasawa.Wapi maji,barabara,huduma za afya,elimu,umeme,ujangili ndani ya chichiem,maisha magumu n.k.Mambo ni mengi ya kufanyia maandamano.
Au wenzetu wana chichiem maisha mpeto.
Kaa chini jiulize,kwa nini hukumu hii imetoka wakati huu,uchaguzi umeisha,hamna bunge,na watu wana force malipo yafanyike haraka.Watanzania kweli ni Mandondocha,sijui tuna nini.kuna haraka gani ya kukimbizana kulipa!
Intelejensia ya ****** hii,igp sijui kama shule imepanda.damu iliomwagika lazima ilipwe,what goes around comes around.ccm hawajai ona nguvu ya wananchi,sisi tupo zaidi ya milioni 35,
Wao wapo wangapi,pamabafu kabisa.wanasubiri kupewa order na wao bila kufikia wanafanya,sijui wakiambiwa watoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.