Nimekuwa nikisikitishwa na kauli zako mama Kanumba tangu msanii Lulu alipohukumiwa.mama yangu mama Kanumba,binadamu ni vyema tujifunze kusamehe.kufungwa kwa Lulu hakutokufaa chochote,kumbuka mwanao marehemu pia alikuwa na makosa ya kutembea na binti mdogo kinyume na maadili ya mtanzania.Hata...
Ndugu wanaume wenzangu,
Siku hizi kuna magonjwa ya wanawake mengi ambayo yametishia kabisa uwepo wetu sisi wazamiaji haswa chumvini.
Kwa maana kansa ya shingo ya kizazi ukiilowekea mdomo sidhani kama utatoka salama.
Vilevile U.T.I imetishia kwa kiasi kikubwa utaalamu wetu kwa maana unaichukua...
Katika harusi hii Masheikh na viongozi wa dini mmetumika vibaya mno na mmekuwa wanafiki kwa kutokusema ukweli.
Kwa mafundisho ya dini mke wa Ally Kiba alikuwa uchi kwa maana maziwa yake yalikuwa wazi na ameyabusti mbele kushawishi kitu ambacho mlishindwa kukemea.Aidha kwa kuogopa kunyimwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.