Aliyeunda chanjo ya Polio na Surua si mzungu huyohuyo anayetuchukia watu weusi na anataka kutuua?
Sasa iweje awe na mission nzuri ya kuokoa maisha ya infants wa kiafrika kwa Surua, halafu mzungu huyohuyo awe na mission mbaya ya kuwaua waafrika kwa korona?
Does this even make sense to you...
Wewe umequote swali langu. Maana yake, mimi ndiye wa kwanza kuuliza.
Sasa unaqoute swali langu,badala ya kulijibu hilo swali unauliza swali lako hapohapo halafu unataka mimi nikujibu.
Umeona shida gani kujibu swali langu ambalo ndilo la kwanza kuulizwa? Au unaliogopa?
C'mon... Usikimbie maswali.
JIBU NILICHOKUULIZA kwa hoja kama unaamini unachokitetea.
Nimekuuliza, kama wazungu wanataka kutuua (kama mlivyoaminishwa), Kwanini wasingetuua kwenye Chanjo ya Polio,Surua,Tb,Homa ya manjano?
Toka tumepata uhuru 1961,Kila mtoto anayezaliwa hapa TZ anachanjwa...
Mtu mweusi aangamizwe na nani? Na kwa nini?
Hivi mtu mweusi ni tishio kwa nani duniani mpaka atake kuangamizwa?
Mbona mnakuwa wajinga hivi nyie watu????
Hivi hao wazungu wangetaka kuwaua watu weusi (kama mnavyoaminishwa) walikuwa na haja gani kusubiri chanjo ya korona ya mwaka 2020/2021?
Kama...
GOOOOOOD.
Umesema Sabato ilikuwa kwa Jews tu.
Sasa, Nabii Musa ambaye alikuwa myahudi (kwa mujibu wa Old Testament), Je ALIIFUATA SABATO au HAKUIFUATA SABATO?
au nikubadilishie swali:
Kwa mujibu wa "Old Testament ", Nabii Musa ALISHIKA AMRI 10 ZA MUNGU AU HAKUZISHIKA?
Hahaha...hayo mambo ya RC na Wasabato yametoka wapi tena?
RC na Wasabato wameandikwa kwenye Old Testament?
Tulia Ndani ya Mada.
Mimi nakuuliza kuhusu Amri alizopewa Musa ndani ya Old Testament ambayo wewe umesema inatoka kwa Mungu.
Amri ambayo Mungu alimpa Musa juu ya sabato, Ninyi waislam...
Mkuu, hapa tunaongelea OLD TESTAMENT. Habari za Yesu mwana wa Yusuph na Mariam hazipo Old Testament zipo New Testament.
Wayahudi hawaamini New Testament, ndio maana sijataja chochote kuihusu.
Tulia, Topic hapa ni OLD TESTAMENT uliyoiongelea wewe.
Haya, Rejea kwenye swali langu na unipe Jibu.
Kwanza nikusahihishe, unasema Jews wanamuamini Nabii Musa tu,SI KWELI.
Jews wanaamini Manabii wote wa "Agano la Kale" kama Daniel, Jeremiah, Obadia,Amos,Hosea, Ezekiel,Joel etc..
Back to the Topic:
HUJAJIBU SWALI LANGU.
Mimi nimekuuliza, JE AGIZO LA KUTOKUFANYA KAZI SIKU YA SABATO (Lililo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.