Habari za wakati huu wanajukwaa,
Naomba mnijulishe jambo fulani, kuhusu namna ya kufanya application kwa course ambazo sio za AFYA na education! (hizi hazifanyiki online, according to NACTE)
Nimejaribu kuangalia baadhi ya vyuo ambavyo vina offer course kama business administration, records...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.