Ofisini hali ni mbaya sana juzi kulikuwa na kikao nikawa naisubiri laki na nusu kwa hamu kikao kikiisha nikafanye shopping ya vitu vya home matokeo yake kimeisha hatujapewa hata senti tano hata chakula hatujala. Kweli sasa tunaisoma namba!!
Chukua likizo bila malipo ndani ya mwaka mmoja uangalie kwanza upepo unavyoenda ukiona unaweza.maisha ya mtaani ndiyo uache. Mtaani kugumu sana ndugu yangu!!
Habari wanajamii? mi nina cresta Gx 100 juzi juzi imeanza tatizo nikipak juani sana nikija kuwasha nakuta pale panapoonyesha kilometre panafuta na pia gari inakuwa nzito ghafla kwenye daahboard kuna leta alama ile ya on/off mfululizo ila nikiendesha mwendo mrefu gari inarudi ktk hali ya kawaida...
Acheni majungu nyie hakuna chuo kinachomjenga mwanachuo kama OUT. Mtu anayemaliza hapo kwenye vitendo anakuwa jembe kwa maana amejifunza kutumia akili yake asilimia 100 tangu anasoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.