ohoo! sasa mbona umejifunika na kapuchino..?? nataka nione hilo komwe nimeona unyonyo upo na nundu ipo haya komwe sasa... ngoja nami nikujibu kwa kapuchino ya ukweli ukweli sasa ambayo imetengenezwa na kono la jambazi..😂
ukifata wema amuoe lkn ukitumia akili hesabu zinagoma na hili sio jambo lakusema unamnyanyapaa!,ni swala la usalama wa huyo bidada pia maana huenda akafa hata wakati wa sex maana moyo hupushi damu sana nyakati kama hizo!.. what if heart will fail during sex..?
also as you say about pregnant...
namba nane umefeli Sana maana kuona yanga ya kawaida Sana ni kwamba kipindi cha pili Yanga waliamua kupoza mpira an ndio maana hata simba wakapata gori,pili huwezi kumuita mpinzani wake WA kawaida ikiwa amekufunga Mara zote mbili huo ni ujinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.