Sio kila wakati mwanaume anataka kufanya mapenzi na sio kila wakati mwanamke hataki kufanya mapenzi.
Hicho ni kitu nmejifunza hivi punde. Inasemekana kuwa wanawake hawapendagi ngono sana ila ni uongo. Kuna mida ikifika mwanamke anawaka moto na anataka kulala na mtu vibaya sana.Lakini pia...
From my previous post naonekana kama na-pretend ila its serious.
Mimi sio mwana jamii forum nmejiunga kwasabbu ni moja wapo ya sehemu niliambiwa nitapata majibu.
Tatizo langu ni kwamba na ndicho nilichokuwa nauliza tangu my previous post sema nilianza kwa a story ili tuelewane katika...
Bwana wangu na mimi tuko kwenye mahusiano ni mwaka wa 3 sasa. Tulikubaliana tangu mwanzo hatutofanya hayo mambo mpka ndoa. Hivi karibuni amekuwa akinipressure na hataki kuelewa kuwa siko tayari.
Sababu yangu tangu mwanzo ni kwamba "mungu hapendi, ni kinyume na maagizo yake" lakini yeye anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.