Search results

  1. F

    NAUZA ASALI YA NYUKI WADOGO.

    jamani nunueni asali kwa afya zenu
  2. F

    NAUZA ASALI YA NYUKI WADOGO.

    Habari zenu? Nauza asali ya nyuki wadogo kutoka Moshi Kilimanjaro. Haijachanganywa na kitu chochote. Inatibu maradhi mengi kama mmengenyo wa chakula (digestion) kuondoa mafuta mwilini, kuondoa muwasho wa koo, kifua hasa kwa watoto, mafua, kikohozi, mtoto jicho katika macho na mengine mengi. Kwa...
  3. F

    Ukikutana na situation kama hii unatakiwa ufanyeje..?

    Unavuta sigara, tembo hapendi sigara
  4. F

    Je, nimuache huyu msichana?

    Huyu binti hana kazi. Kipindi hajaugua alikuwa akifanya kibarua tu. Pesa aliyojitolea kwangu si kubwa ila ukubwa wake ni kule kujinyima yeye na akanipa mimi. Msema ukweli ni mtu wa Mungu.
  5. F

    Anaemnunulia huyu baba suit over size Mungu anamuona

    Anabania pesa. Hizo suti atatumia miaka kumi hata anenepe vipi.
  6. F

    Je, nimuache huyu msichana?

    Habari ndugu zangu, Ninakuja kwenu nikiwa na tatizo. Naomba mwenye ushauri wa kujenga anisaidie. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27. Nina msichana ambaye ninampenda sana naye sina shaka kuwa ananipenda sana. Toka nikiwa sina kazi, huyu msichana alikuwa bega kwa bega na mimi. Alijitoa sana...
  7. F

    Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

    Hakumzuia, bali walipitiwa na usingizi
  8. F

    Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

    Jamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
  9. F

    Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

    Jamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
  10. F

    Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

    Jamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
  11. F

    Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

    Salamu zenu wakubwa kwa wadogo? Ishu iko ivi, nina rafiki yangu wa karibu ambaye ameniomba ushauri. Mimi binafsi sijui nimshauri kipi kizuri. Naileta mbele yenu, wana JamiiForum hasa wanaume tumsaidie huyu ndugu yetu aokoe jhazi. Mada iko kama ifuatavyo; Ni mwanaume mwenye miaka 27. Bado...
  12. F

    Joram Kiango yupo sokoni tayari

    salamu toka kuzimu nitakipata?
  13. F

    Joram Kiango yupo sokoni tayari

    Posta maeneo gani?
  14. F

    Joram Kiango yupo sokoni tayari

    Vinapatikana wapi? navihitaji pia.
  15. F

    Sijui nitumie njia gani anielewe?

    nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa
  16. F

    Sijui nitumie njia gani anielewe?

    Ilitokea tu katika kutafuta jina ili nipate msaada. Kila nililojaribu ilikuwa ngumu.
  17. F

    Sijui nitumie njia gani anielewe?

    Habari zenu wanajamii forum wenzangu. Natumaini amjambo na hizi siku kuu zinawaendea vyema. Kwa upande wangu siku kuu zimekaa vibaya mno. Nilileta mada ya kuachwa na mpenzi ambaye bado anaendelea kuwa pamoja nami kwa kila hali. Shida yangu ni kwamba, nimemuomba sana msamaha huyu bwana...
  18. F

    Bado ananipenda kweli?

    Ninapomuuliza jibu analonipa ni kwamba bado ananipenda sana. Hata kuna muda anakuja akiwa amelewa na anadai ananipenda lakini matendo yake siyaelewi.
Back
Top Bottom