Magufuli anachotaka ni serikali kuwa na uwezo wa kusukuma uchumi katika makundi mbalimbali, mdhamini wa uchumi wa watu katika makundi yao ni serikali, haiwezekani kuwa na uchumi imara wa watu hali serikali haina pesa na njia pekee ya serikali kupata pesa ni kupitia kodi mbalimbali zinazolipwa.
Kila kitabu na zama zake JK alikuwa sahihi kwa wakati huo lakini timu linabutuliwa namna ile kuna haja gani ya kuendelea kutumia pesa za walipakodi kugharamia soka isiyo soka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.