Ukweli nikwamba wajanja wamepiga pesa Hazina kwahiyo serikali haina hela hivyo inambidi JPM kung'ang'ana na TRA na TPA ilikupata hela za kutekeza ahadi zake kutokana na Mambo kuwa magum tumeona JPM akiruka bahadhi ya ahadi zake kama Kutoa million 50 kwa kila kijiji na Laptop kwa kila mwalimu...
Wapo walioelewa na wachache wasiolewa,Nadhani mtoa hoja ana sababu za msingi zenye kuzingatia maslahi ya nchi.Mamlaka ya bandari inatumia zaidi ya bilioni 2 kila mwaka kuvutia wateja kutumia bandari za Tanzania..
Mfumo tajwa una mapungufu kwa kiwango cha kuwakwaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.