Hi kwa sana wana JF
Naomba msaada kwenu nilikuwa nahitaji link ambayo naweza kuupata wimbo wa zilipendwa au mwenye nao wa "teddy wana Zanzibar" uliopigwa na bendi ya DDC mlimani park okestra.
shukran sana!!..
Wana JF naombeni mnijuze kuhusu madaraja anayojaziwa mtu kwenye lesen ya udereva.
Unakuta mtu anajaziwa daraja A,A2 bila kujaziwa A1 na A3, sasa je vyombo vya moto hujajaziwa huruhusiwi kuendesha??
iv je ni kweli kuwa ukiwa class C bila kujaziwa madaraja mengine inaruhusiwa kuendesha gar lolote??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.