Mmhh kweli kuna watanzania huwaambii kitu kwa israel, mpaka bendera kwenye magari yao wameweka na wanatembea nazo 🇮🇱
Al hamduliLlah najivunia sana sana kuwa Muislamu
Kufunga ni kwa yule alieamini, na sio utamaduni wa Wazanzibari tu!
Na hizo mila zenu za kiafrika za kucheza ngoma, kuuwa mnyama na kunywa damu n.k, kujitoboa ulimi, masikio, kuvaa mavazi yasio na stara na kujipaka marangi usoni n.k si katika mila za kiislamu.
Hivi serikali ikiamua ifanye sensa ya DINI aise utakimbia huu uzi, hata hii comment yako utaifuta mlivyo wachache, basi tu Uislamu ni dini ya amani na huruma, ingelikua nchi hii haina waislamu sijui kama wewe au katika familia yenu mgebaki salama. Refer Congo, rwanda na south afrika ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.