Tarehe 15. Nov. Nitafikisha miaka Saba kamili ndani ya JF.
Ni safari ndefu na ngumu mno hasa kukabiliana na hoja za wadau wengine humu ndani.
Mbali na changamoto lakini JF imekuwa sehemu yangu ya maisha kwa sababu zifuatazo.
Nilijiunga JF nikiwa muajiriwa tu wa kawaida kabisa ambaye anafanya...
Inategemea wengine pesa wanazisimamia tu wala siyo zao ndiyo maana wanalazimisha umaalufu huku wakilazimisha watu waone wanachokifanya lkn ukweli kwamba ni walaghai wakutupwa
Hata ukiwadharau huna cha kuwafanya na bado wananafasi ya kumpromote Manara wanatakavyo ila Kama umeumia sana kalale ukiamka itapoa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] By the way Mudi aache janja janja sasa ameanikikwa na wahusika wataanza kumfuatlia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.