Sio kwa sababu wewe ni kijana una nguvu na afya njema haina maana kwamba kifo hakipo kwa ajili yako kifo hakina kikwaza cha umri daima unapaswa kuwa tayari na kifo
Mwenyezi mungu (Allah ) anasema
Marejeo yenu ni kwa mwenyezi mungu tu naye ni muweza wa kila kitu(Quran 11:4) huu ni ukumbusho...
Mchumba niliyepata anavyote vigezo nitakavyo kasoro hazikosi Tatizo ni moja2 Alipigwa mimba wakati anamaliza 4M4 Ana mtoto nami Nilikuwa via hatua za kupeleka PoSa lkn imebdi awe muwaz ukimuona huwezi mdhania kbsa!!!naomben ushauri jaman mnipe n chanagamoto zipi walizonazo wanawake Wenye watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.