Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nauliza kama una basi moja la yutong linaenda safari za dar to songea faida yake kwa siku ni shilingi ngapi ukitoa pesa ya mafuta na matumizi mengine na zipi changamoto zake
Jeshi la uturuki lipo mpakani mwa syria na iraq ambapo linafanya mazoezi ya nguvu.
Sababu ya kufanya hivyo ni kutopenda kufanyika kwa kura ya maoni ya jimbo la wakurdi wanaotaka kujitenga kutoka serikali kuu ya mjini bagdad.Uturuki inaona kutangaza uhuru kwa jimbo hilo ni kuchochea machafuko...
a)Kwa nini bondia kama floyd mayweather hajawahi kupigana na mabondia kama Anthony Joshua,Vladimir Klichko,David Haye,Amri Khan, David Chisola
b)Na huu mchezo huwa unapiganwa vipi maana katika hao wote utasikia ni bingwa wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu,
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza kidato cha nne mwaka 2007. Nilibahatika kupata div 4 ya point 26 nilipata C tatu.
Sikubahatika kuendelea advance nikaamua kujishughulisha na biashara ndogondogo, huwa nafanya biashara ya mazao na huwa napata mpaka milioni 20 kwa mwaka, tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.