Tumesikia mengi sana maovu ya nchi yetu lakini yamekuwa yakiisha bila watanzania kufahamu yameishaje, mfano: zile pesa za richmond, epa, kusafirishwa kwa wanyama nje ya nchi, kuteswa kwa dr ulimboka, na mambo mengine mengi ambayo tungependa tusikie muendelezo wake ila haiko hivyo.
Rai kwa...
Binafsi nawashangaa MAWAZIRI hawa wa jk walivyo na majibu rahisis kwa hoja zinazoonekana kuwanufaisha watanzania wengi, Mfano:-
Hoja ya KATIBA mpya waziri Kombani alisema kuandaa Katiba mpya ni Gharama kubwa serikali HAIWEZI kuandika katiba mpya.
Jana tumemsikia waziri kawambwa amewaambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.