Search results

  1. mbweta

    Chanzo cha ajali ya chopa iliyombeba Filikunjombe

    Hivi helicopter haina Blackbox?
  2. mbweta

    Hadithi Ya Kusisimua: Mke wangu nusu jini, nusu mtu

    Jamani hivi hii ni Hadithi au kisa cha kweli mana sielewi inaonekana kama kweli
  3. mbweta

    NDEGE inayobeba Treni

    Upo wewe hope ushatupia Kule kwa Munil
  4. mbweta

    How To Crash Your Friend’s WhatsApp

    Sasa kwanini ucrash whatsapp ya mwenzio jamani? Mie nataka niwe naona charting za mke wangu kwangu.
  5. mbweta

    Msuya atueleze aliko Sokoine

    Subiri nirudi MMU Mzizi Mkavu anaweza akawa ametupia episode ya Munil
  6. mbweta

    Msuya atueleze aliko Sokoine

    Jamani wengine hatuna historia vizuri juu ya tuhuma za Msuya juu ya kifo cha Sokoine? Tupeni taarifa vizuri huyo Msuya alihusikaje na hicho kifo ili tuconnect dotes wengine tumezaliwa 1989 so tulipishana na marehem.Samahani kwa kuomba data za zamani
  7. mbweta

    Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

    Sitaki hata jarib mie, na nimelock simu isije jipiga bahati mbaya.
  8. mbweta

    Hadithi Ya Kusisimua: Mke wangu nusu jini, nusu mtu

    Hahaha afidie usumbufu sasa Ila ukisoma zile zilizo kamilika mpaka raha hakuna cha kusubiri kama hii yani mtu unakua na ham balaa kila mda unacheki vipi kaweka unakuta ola
  9. mbweta

    Hadithi Ya Kusisimua: Mke wangu nusu jini, nusu mtu

    Daa jamaaa ajatupia kitu tuu mana nachungulia kila mda
  10. mbweta

    Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka wa Koboko Urambo

    Pia kwa Tabora hawa nyoka wanausishwa na uchawi ukikuta nyoka katumwa kuja kukumaliza huwa anaakili haswa.
  11. mbweta

    Kwanini vijana wa umri wa Kati 26-46 wanakufa sana

    kwa sababu umeweka range kubwa sanaaa
  12. mbweta

    Aliyelawitiwa baada ya kushikwa ugoni ajiua

    Ila mie nazilaumu Gesti zetu hizi haiwezekaniki mtu kaja bila polisi unamruhusu akaingie chumba cha mtu ambae ni mteja wako, lawaama zote zielekezwe kwa hawa wenye gesti kwanini wanashindwa kutoa ulinzi kwa wateja wao. Sio siri niliuzunika sana kwa kitendo hiki nadhani fundisho nitawafikia wote...
  13. mbweta

    Pinda abadili upepo wa CCM urais 2015

    Tutasikia tena sekeseke za albino zikianza mpaka uchaguzi uishe
  14. mbweta

    Chidi Benzi huyo

    Kabaki Fuvu
  15. mbweta

    Lowassa ampa Apson kiasi kikubwa cha fedha Kutekeleza maazimio ya kikao cha akina Mbatia

    Yaap Lowasa sio kama kamkabidhi mamlaka yote Apson,hapo kagawa kitengo kila mtu na chake na ushawishi wake so usikute pia kuna viingozi wengine wengi kaisha watimbia wamfanyie hiyo ishu then zikijumuishwa nguvu zote hapo ndo ushindi unapokuja
  16. mbweta

    Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

    hii ndoto nami pia inanitokeaga ila sijawahi pata jib linalo fanana juu ya maana ya hiii ndoto nadhan tangu 2008 ua 09 ..
Back
Top Bottom