Wachaga hawana mahaba kujifanya wapo busy kuwaza pesa hadi kitandani. Tena usiwe mmachame au Mkibosho ndio tatizo kabisa ila nilionja Mmarangu ana huba ila tapeli. Sijaongelea kabila zima ila niliokutana nao
Ukute hata kusoma hajui angejua vipi kama ni dawa ya mifugo? Wamasai ni wakati sana sana na wengi hawajui kusoma wamefunga na mila na tamaduni zao hivyo ni ngumu watu kujua ukatili unaoendelea huko
Kumbe nawe kuna kitu hujaelewa. Police wamefanya Publicity makusudi kutuma ujumbe kwa jamii yote, wahusika pia na wazazi au walezi wachukulie hili jambo ni serious.
Wala sio jambo kubwa kwa Polisi ila kwa wazazi, walezi na hao Panya wenyewe.
Kesho watangaze kuua sita tena.
Hiyo taarifa umeisoma au kujitia ujuaji?
Hujaona kama ni wahalifu ambao waneshawahi kufikishwa mahakamani? Na kwa akili yako kubwa sana na ubinadamu wako unadhani kwa namna hao Panya road wanavyofanya matukio kuna namna ya kuwatolea ushahidi wa kuwafunga?
Halafu nani akahangaike kuwahudumia wakiwa mahabusu na majeraha yao? Magereza yanawahitaji sana vijana wa umri huo wakafanye miradi ya uzalishaji lakini wasiwe majeruhi wala walemavu. Tatizo huko Mahakamani kunakosekanaga ushahidi hivyo wauliwe tu hawana faida.
Ukisoma utagundua hao ni wahalifu ambao tayari wana rekodi ya matukio.
Utakamatwa utahojiwa utaachiwa hapohapo njiani hata kituoni hawaendi na wewe. Vifaa vya ujenzi na mjenzi mwenyewe vitajitambulisha tu.
Habari wanajamvi.
Nimekuwa najiuliza hili swali, Wanaume mnapenda Mwanamke yipi haswa? Nina marafiki wa kiume na hata kaka zangu ambao huwa naongea nao kuhusu mahusiano.
Utakuta yupo na mwanamke muda mrefu halafu Mara tu unasikia ameoa mwanamke mwingine, baadae anataka kumrudia wa zamani awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.