Nipo mikumi hapa CHADEMA profesa j anaongoza 96% ya kata zote na diwan wake mikum mjini ameongoza kwa kishindo yaan hapa tunapata moja mbili kujipongeza kutoka uteja wa ccm..
We pimbi kumbe hata ww pia hujielew, hivi ww hujiulizi kashfa ya mwaka 2008 inakuja kutolewa majibu leo..? Escrow, EPA,Mabehewa mabovu, kivuko kilichonunuliwa kwa pesa nyingi wakat kimechakaa na kukamatwa kwa pembe za ndovu. Hayo yote nani atakaetupatia majibu..? au ndio tusubir wakiingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.