Mkuu waliosoma private hio ni confirmed hawapati mikopo ya elimu ya juu hii ni kwa muujibu wa vigezo,
pia uchache wa vyuo vya afya na wingi wa wanafunzi akimaliza form six anaweza asisome kile alichopanga kukisomea akajikuta anasoma vitu vingine na ajira zenyewe ndio hivyo na home uchumi sio...
Mods sijakosea jukwaa, natoa angalizo pia ninaomba huu uzi uachwe humu humu jukwaa la siasa nahitaji ufafanuzi wenye uhakika,
Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha nne, ana ufaulu mzuri wa Division one ya 11, ila amesoma shule ya private,
kutokana na mabadiriko ya sheria ya mikopo ya elimu...
Mkuu unaonaje ukiongea na binti kwanza ili upate kujua naye hisia zake kama ziko kwako!
Vipi huyo mzee ni muelewa? Mahusiano yake na wewe pamoja na wazazi au ndugu zako yakoje?
Suala la wewe kumuoa binti ni jambo la kheri na hekima hakuna mwenye akili timamu atakaye wazuia mkiwa mmepandana au...
Nguvu za kiume ni suala la kisaikolojia shida ni kwamba hili neno saikolojia hubakia kama msamiati kwa watu wengi kutokana na uhaba wa mifano inayo akisi uhalisia,
Hebu chukulia mfano umeletewa mwanamke mzuri umpendae kuliko wote duniani, ukapewa fursa ya kulala nae usiku mmoja, wakati huo wewe...
Hallucination,???
Mkuu
You are WRONG brother,
Kwa mtu mwenye heshima kama yako kupindua ukweli kwa BUKU SABA ni aibu,
Ujue MKUU kuna mengi tunayanyamazia tuu,
Any way UNATAKA KUTUAMBIA UNAWAJUA MEMBER WA KIKE wote humu ndani,
Nilichokiona kwako ni kwamba you pretend to know ebery thing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.