Ni kweli inaweza kuwa lighter and faster japo video sijaitazama, kwa sababu kazi ya play services ni ku link apps zote pamoja ikiwemo playstore.. kitendo hicho huwa kinasababisha matumizi makubwa ya battery pamoja na Ram.. ila kwa Harmony hiyo haipo na ndio maana wanaweza kusema itakuwa lighter
Tatizo sio Android... Tatizo ni play services kutoka Google.. hii ina maana kuwa Harmony Os ni kama HiOs ya Tecno.. maana yake ni kwamba Android inakuwa imeongezewa User Interface(UI) ila kwa Harmony Os hamna play services
Tulikuwa tunabana matumizi, tukachukua Jezi mbili tofauti na kuzishona...
Tuna nyingine upande wa njano upo kishoto na nyekundu kulia...
Itavaliwa siku hao wekundu wakiwa nyumbani na hao wa njano wakiwa ugenini
Bana matumizi...![emoji23]
Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
Usisahau mpira ukitoka nje ya uwanja huwa unarushwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka sasa tunajisifu sekta ya utalii kukua, tunatarajia kupokea watalii 200 kutoka China [emoji630]
Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.