Habari zenu,
Nimeishuhudia mara mbili hivyo nawakumbusha akina kaka, mdada akisema sitaki muelewe maana utazua makubwa na hasa kama mwanamke mwenyewe ni wa uswahilini kwetu huku.
Juzi kuna kijana kapigwa kichwani na watu wa hasira kali kutokana na kuitwa mwizi na mwanamke aliyembadilikia...
Wana jf za mida wapendwa,
nimemuota ucku huu akitamka hivi"nifungulieni wacnikamate tena"
n uncle wangu aliyepotea kwenye mazngra ambayo mpka sasa hakuna mwenye jibu la alipo n mnamo mwaka
2006 alipofiwa na Baba ake akasafiri kutoka Dar kwenda karagwe-kagera kumzika aliwahi kurudi kabla ya...
Nadhani wazima kama mimi!
Ingawa ni mgeni ila kwa upendo wenu mtanipokea kwa ushauri mzuri.
Ni hivi wana Jf kuna haja ya kuendelea kumpigia simu, kum SMS mtu uliyeamua kuachana nae ikiwa ulimtamkia kabisa kuwa "tuishie hapa kimahusiano" kutokana na makosa yake.
Naweza nikawa mshamba kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.