naomba kujuzwa mtaji wa kias gan wahitajika kuanza biashara ya asali kutoa kijijin kuleta mjin kama dar, na pia nahitaj kupewa ushaur juu ya hyo biashara na pia nipewe na changamoto ntazokutana nazo,
ahsanteni
hayo ni moja ktk maneno mazur mno yanayo2tia moyo, ila hata walo2tisha wapo sahih maana wame2fanya tuwe TAYARI kwa yatakayo2kabili, maana tushapata fununu fununu kip ktakua mbele yetu!
so, KAZ KWE2
sua ni chuo speacial kwa kilmo so wanafundshwa v2 vng abt kilimo, pia mchaka mchaka wa sua c wa ktoto so alyetoka na bachelor pale kafanya kaz ya ziada, pia nlzungumza na researcher flan hv wa klimo ambae anaphd ya maswala ya kilmo anasema ktk soko la ajra anaangaliwa m2 wa sua b4 wa chuo kngne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.