viva prof muhongo viva jembe!!!!kuweka mpango wa kusomesha watanzania kwenye sector ya madini na gas kwa mkakati 2017 lazima tutapata matokeo chanya na tutajisimamia wenyewe bila wazungu na vendors
kwa nini kwa nini kwa nini Dr tulia ackson!!!Tatizo elimu yake!uwezo wake!ubobevu wake kisheri!!!!!!anawazidi wapinzani wote!!!!Hofu kubwa kwao ni kuzidiwa kimkakati!!Haijawahi tokea mpinzani akasifu ccm!!hata kwa mazuri!!!!MANYUMBU
pamoja na wapumbavu na malofa kuhama ccm!!!bado kuna hazina kubwa kila sehemu!!!nisawa na kuchota kijiko kimoja cha sukar kwenye kwenye semi ya sukari!!cheki huyo naibu!!dr TULIA ACTKSON!!NAIBU WA KWANZA MSOMI WA PHD!!!TUNDU LISSU ATAMWEZA?!!!!patamu
job ndugai wakati anakuwa spika alikuwa na uzoefu gani!!!huyu dada anamzidi elimu hata sitta!alikuwa naibu mwanasheria mkuu!!bado ni muhadhiri udsm!!!manyumbu bwana!!
tatizo la malofa ni kupinga chachote juu ya serikali ya ccm!!hebu duka lipo ndani ya hospital na dawa ambazo ni za serikali ndo nyingi zinapatikana hapo kwani ni jirani kwa wagonjwa!!huwezi ishi na mwizi ndani alafu unafanya ulinzi nje!!wendawazimu!someni toka source ya habari!!pia ni mkakati wa...
yeyote anaejua sheria inasema nini hawezi bwana!!!katiba inasema nini!!!waziri,naibu wazir!!hana sifa za kuwa spika au naibu spika,AG ameshateuliwa je kuna mahari pameandika NAIBU AG ameteuliwa!!!alikuwa serikali iliyopita c sasa!!dr atkson anazo sifa kwani ni mtu yeyote awe mbunge au...
ukitaka kufikiria sana utagundua mtu akiwa msemaji sana anazani ndie mjanja sana!!!mkiwa jF wengi ndo mnadhani mtashindisha rais!!rais anachaguliwa:wapole,welevu,wajinga,vilaza,wapumbavu na malofa!!!inategemea wakina nani watakuwa wengi!!hii ndio dhana ya democrasia!!wengi hushinda bila kujali...
binafsi kuna mambo ya kumshauri rais wetu kwanza:apunguze baraza la mawaziri mpaka 15 pili:waziri mkuu awe prof muhongo kwani ni mchapa kazi na hana hofu na siasa uchwara kwani kakuta tansco ipo hoi tena inawakandamiza masikini ndani ya taifa lao,nguzo moja ilikuwa 1000000,sasa...
binafsi 2020!!dr magufuli ameshashinda kwa zaidi ya 75%,kwanza kasi anayoenda nayo!!pili akitimiza vyema ilani ya ccm!!la wanafunzi tayar na sasa yupo kwenye afya!,safar kafuta tayari!!bado viwanda,mahakama,milion 50,na mashamba yetu!!!upunzani hawana mgombea!!!edward lowasa 2020 atakuwa na...
kweli ccm ni chama dunian!!!tujikumbushe kitabu cha mwali nyerere!!!TUJISAHIHISHE!!chama chochote na serikal yoyote ili idumu ni lazima kujikosoa kwa kuangalia wapi kimekosea na matatizo yanayokikabili!!!!cheki hii mizigo!!!!EDWARD LOWASA,MGANA MSINDAI,JOHN GITITA,HAMIS MGEJA!,MASHA,JAMES...
kwanza mleta thread wewe c mfatiliaji mzuri!!!!kwani siku anaapishwa alizungumzia swala zanzibar!!!pili zanzibar ni sehemu ya jamuhur ya tanzania!!!tatu ,dunian kuna aina 3 za muungano!!!mfano marekani ni muungano wa states!!!someni acheni kukalili
juliana shonza!!!i respect u!!!u know much how to answer idoit!!!!kama kweli vijana wenzangu tukithubuti kuwakemea mabwana!!!taifa litasonga mbele!!!ur the great thinker!!!c hawa vilaza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.