Habari wakuu....nipo naangalia FRANCE 24 mda huu..! Wanadai majeshi ya Senegal yameingia Gambia,maneno hayo yamesemwa na msemaji wa jeshi...Mkuu wa majeshi wa Gambia yuko pamoja na wafuasi wa Barrow wakishangilia Street
Source :FRANCE 24
====
mm ni member umu ila sijawai comment au post kitu kwa mara ya kwanza naomba kuliza ivi vitabu kama vya wiilliam gamba joram kiango na vingenevyo vya ben mtobwa vinapatikan wap kwa dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.