Miaka nenda rudi kwanini serikali haikamilishi hii barabara toka Kidatu hadi Ifakara?
Sehemu ya kutumia dakka 40 unatumia masaa kibao. Pia hii njia inaharibu sana body ya gari..
Salaam wana jf
Nazungumzia barabara ya kwenda makao makuu ya wilaya kirombelo ni kwa nini serikari haitaki kuweka lami eneo hili
Ile wilaya inatoa mazao ya mpunga ila barabara ni mbovu balaa nini tatizo hadi hadi kupelekea kusahaulika kwa barabara hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.