Kwanza nianze kwa kuwapa pole sana Watanzania wenzangu kwa yote yaliyowapata katika uongozi Wa CCM Wa takribani miaka 54. CCM toka kuzaliwa kwake mpaka Baba Wa Taifa alipofariki haikuwa Na matatizo makubwa.CCM imeanza kuwatesa Na kuwafanya watanzania wawe masikini Wa kutisha ni mara tu baada ya...
Nimeshangazwa sana Na kauli ya mgombea Urais Wa CCM kuwa anataka ayajue Matatizo ya Wananchi sasa .
Magufuli amekuwa Waziri kwa miaka 20 Na katika uwaziri wake amekuwa akitembea nchi nzima kiasi ambacho alipaswa kuyajua kwani alikuwa anakutana Na wananchi.
Kitendo cha kuwambia wananchi eti...
Hivi karibu Serikali ya CCM kupitia Tingatinga lake Mgombea Urais ilinunua boti/ meli kwa ajili ya eti kupunguza foleni Barabara ya Dar kwenda Bagamoyo.Boti hiyo imenunuliwa kwa Kodi za Masikini Wa liochoka kwa shs.Bilioni 8.Tingatinga kama kawaida yake Mzee Wa kujisifu aliuambia umma Wa...
Unapotaka kuvuka pale ferry kama una gari ni lazima ulipie ushuru kulingana Na ukubwa/ uzito Wa gari yako. Nimekuwa nashangazwa sana nagari binafsi ya watumishi Wa Wizara hizo wao hawalipi ushuru huo .Kimsingi sisi wengine pia ni watumishi Wa Wizara nyingine. Je ni kigezo gani kinachotumika...
Jamani hivi CCM inatuona watanzania hatuna akili?Eti Magufuli Na Samia wanawadanganya wananchi kuwa kila Mtanzania atapata Hela Na kila kijiji kitapata milioni 50 .Jamani watanzania mbona CCM inatudharau kiasi hiki? Chonde chonde hizo Hela wanazitoa wapi wakati Hela zote wamechukua wao Na watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.