Kwa kuwa yanatokea CCM kweli hali ni mbaya,yalipofanyika ndani ya chama chetu pendwa kwa nafasi ya juu kuliko zote nchini yalikuwa maamuzi sahihi.Sisi kweli watu makini hatukosei ila washindani wetu hukosea daima.
Kama ambavyo pia haijawahi kutokea Tanzania mmoa wa wataalam wa tume ya uchaguzi akauwawa kinyama siku chache kabla ya uchaguzi.Shilingi ina pande mbili ukiangalia upande mmoa geuza uangalie upande wa pili.
Tunawatakia amani Kenya,tusubiri matokeo na namna yao ya kuyapokea matokeo hayo.Sitamani...
Umechagua fungu baya.Umeacha nuru ukachagua giza.Nuru ina nguvu na huruma kubwa ndiyo maana huko huko gizani uliko inakumulika na kukuonyesha mlango wa kutokea.Iache njia yako mbaya.Tunamshukuru MUNGU kwa kuwa amekutumia kutukumbusha na kutuonya..
.
Kwa aina hii ya misimamo yako JPM naachaje kukuheshimu? Uungwana si unafiki kuwafanya watu wacheke hata wasipohitaji kucheka.Ombi langu kwako kabla ya miaka yako 10 kuisha hakikisha katiba ya Mh.J.S.Warioba inakamilika na kuanza kutekelezwa,vinginevyo tutapata mrithi wako atakayebomoa kila...
.
Hivi kati ya JPM na Biblia kipi kinatakiwa kuwa na staha zaidi? Biblia ina mstari unaosema 'hata ukimtwanga mpumbavu pmoja na ngano katika kinu upabavu wake hautamtoka''
Mchangiaji mmoja kahoji swali la akili kubwa,Mh.Rais wetu kama uliteua wapumbavu wewe tukupe jina gani? Hatua muhimu kwa...
Tukipewa taarifa kuna wapuuzi wanayavuruga.Kuna timu ilitangaza sana hawatakuja.Tusubiri matokeo, taarifa itakuwa hadharani.Kikosi cha kihuni cha kujua serikali inafanya nini kwa nia yao ovu huibadilisha kama shetani alivyobadili maamuzi ya MUNGU na kumdanganya Hawa.
Wewe huwezi kudumu na mkeo wengine tunauwezo mkubwa wa kudumu nao.Unachokiona akilini mwako ndicho cha kwako.Unaamini huwezi hutaweza,tunaamini tunaweza ,daima tutaweza.
.
Umekariri au unafikiri? ni kweli kuwa viwanda vingi vilikufa kwa sababu ya usimamizi dhaifu wa CCM na serikali kwa kipindi hicho.Wametambua kosa lao,wanakiri kosa lao.Wanachukua hatua kusahihisha.
Ni ujinga kulima pamba na kuisafirisha kama ilivyo kwenda nje ya nchi halafu sisi tunakwenda...
Manji amueleze nani sababu za kumkata wakili msomi Kibatala? nani anapaswa kumlipa Kibatala kwenye kesi ya Manji,nani anapaswa kupima kiwango cha utoshelevu wa huduma ya Kibatala kwa Manji? Kama yupo anayestahili hayo kuliko Manji mwenyewe na amtake Manji aeleze sababu za kumkataa Kibatala.
Hayuko peke yake,katika jeshi la ushindi lililochujwa kwa maelekezo ya MUNGU kutoka 30,000,000 hadi 300 tu majina mengine yote huyaoni linaonekana jina moja tu. Joshua.
Kabudi ana timu ya kutosha nyuma yake,ametangulizwa mbele kama Joshua.
.
Kwa uzao wa shetani Tanzania hakuna amani.Kama amani ni kusubiri kupewa kila kitu bure ,hiyo amani haipo.Kama unataka kuishi kwa jasho lako Tanzaia ni zaidi ya nchi ya amani.Kama maandamano na mikutano ya kutwa Tanzania hakuna amani.Kama amani ni kucheza bao,darft,pool.kubet kutwa kucha...
Shalom.
Waambie hao uliotumwa kutuwakilisha uzungumze nao kama alivyowaambia Mfalme Daudi "Hawa wanataja magari,na hawa wanataa farasi ;Bali sisi tutalitaja jina la BWANA Mungu wetu" Zaburi 20:7
Nami nakuombea kwa Mungu wetu aseme nawe" Kwa kuwa watu hawa mia tatu ( badala ya elfu 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.