Habari zenu wandugu.
Tanga mjini mkaa haupatikani, watu wanahangaika na majumu kila kona.
Makamu wa Rais alisema mkaa uzuiliwe bila kutuambia ipi itakuwa nishati mbadala.
Je, huko kwenu hali ya mkaa wa kupikia ikoje?
Safi.
Kumbuka kuwa mshindo mmoja hutoa sperm zaidi ya milioni na inayotunga mimba ni moja au mbili.
Wingi wa sperm siyo uwezo wa kutungisha mimba, hata ziwe chache ubora ni ule ule.
Mshindo mmoja ukigawanywa vizuri unatungisha mimba zaidi ya mia tano.
Zamani sisi wapare tuliamini mapacha ni nuksi, hivyo mwanamke ukizaa pacha mkunga awamziba pumzi baadaye mnaambiwa siyo risk. HAIKUANDIKWA.
Mwanamke akipata mimba kabla ya unyago anaitwa kigego, nyumba inatobolewa mlango kwa nyuma, akitoka unazibwa, kafukuzwa kwenye ukoo. HAIKUANDIKWA.
Mtoto...
Mistari ya longitudo kutoka kaskazini kwenda kusini inatumika kupima saa.
Kila degree 15 ni tofauti ya saa moja.
Kama uko Dar inakadiriwa upo 39.21°E mashariki ya Greenwichi, Kigoma ipo 29.66°E mashariki ya Greenwichi tofauti yake ni karibu 10° hivyo kuna tofauti ya karibu saa moja.
Ukumbumbe kuwa walikuwa wakigombana toka tumboni mwa mama yao, akaulini ni uzao gani huu, akaambiwa mataifa mawili yapo tumboni yanagombana.
Wakati wa kuzaliwa Esau katangulia ila kabakisha mguu tumboni mwa mamaye. Kutika kashikwa kisigino na Yakobo.
Ukishikwa kisigino wakati mnakimbia...
Mimi naamini Mungu humpa kila mtu kwa anavyotaka, Yakobo alikuwa anakaa nyumbani akawa mfalme na tajiri sana.
Lakini Adamu na hawa ahadi yao waishi milele, ila ikawekwa miti miwili , wa mema na mabaya na wa uzima wa milele, walipoula wa mema na mabaya kwa hila za shetani Mungu akaweka ulinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.