kwa mliotumwa na huyu baba au vibaraka wa karibu wa huyu baba, habari ni hii: yawezekana ana mazuri yake, ila tukiweka kwenye mizani na tukapima hayo mazuri na mabaya, bakuli la mabaya yamkini ni zito zaidi. Sasa basi, tunamshukuru kwa jitihada zake mbali mbali za kusogeza maendeleo katika nchi...
Kuna mtu kama kailaumu sirikali kwamba ndio chanzo cha yeye kutojiamini..I hope sijamuelewa otherwise ni vapour moja kubwa,mwishowe utailaumu sirikali kwa ukurutu wako ilhali we mwenyewe ndo usiyeoga..puhleeeez!
kuna ambao ndo nimewaona sasa ivi kuwa ni mawaziri.
vimeo vilivyoshindikana;
makongoro(kwanza mwizi wa kura,list ya matatizo yake ni ndefu,kwa ufupi ni kichefuchefu)
sophia simba(ni sawa kuwa na khadija kopa as a minister)
hussein mwinyi(yupo alimradi apoteze muda kusubiri urais)
ngeleja(huyu...
mandezi wengine utafikiri wote kwao ni moshi...lami mpaka vijijini etc, huyu jamaa unlike wanyaturu wengi, kafanya jitihada sana za kuendeleza kwao, mkoa wa singida kutoka kwenye umaskini uliopo unahitaji efforts za hawa wanayaturu wote waliojazana dar-es-salaam na kwingineko wanaosubiri kutia...
Nawasalimu wote.
1. Zitto is not as smart as people may think. Ni vuvuzela mzuri. Anahamaki, ana jazba na mara nyingi anashindwa kuwa objective. Anapenda kudandia lift za hoja ili kujijengea umaarufu. Kama kuna anayehitaji mifano arejee rekodi za vikao vya bunge 2005-2010. Sio mtu wa kukaa chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.