Tatizo watz hawafuatilii hotuba za Rais, kwani siku rais anaongea na Wafanyabiashara ikulu dar ersalaam alisema mafuta ghafi yapandishwe kodi ili kulinda viwanda vya ndani Bila ya kupata ushauri kutoka kwa wataalam wa wizara!
Tatizo mnaropoka tu bila kujua kinacho endelea na wananchi ndio waathirika, siku rais anaongea na Wafanyabiashara alisema ili kulinda soko la mafuta ya alizeti, ni vema tukapandisha kodi ya mafuta ya kula yanayotoka nje yaani groud oil, sasa hiki ndicho kinacho tokea na wananchi wataisoma namba.
Inamaana kabla ya kafulila haikuwa na mtu wa kujibu vitu kama hivi? Ccm wamelamba dume mtu kama kafulila walau wamejipambanua kwa kiasi fulani japo mengine ni kutetea kaugali kakusubiria.
Kufanya mema kwa nchi kwa maana ya maendeleo sio hisani ni wajibu wao wafanye kwani wanamkataba na wapiga kura kwa miaka 5 ebo! Na kufanya kwao vizuri isiwe kichaka cha kufanya Maovu!
Mbowe alikuwepo kabla ya magufuli, jiulize kwa nini magufuli hawataki? Kwa nini waharibu amani kipindi hiki? Hawa ni wapinzani upinzani ni kuvumiliana sio chuki na ubabe, mbowe hazuii maendeleo yanayo ya hubiri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.