Swala la fleet commonality in kama hulijui..
Kimsingi Atcl itakuwa na ndege kutoka kampuni mbili tu. Bombardier na Boeing..elewa Dream liner ni Boeing 787..na Cs300 pamoja na Q400 hizi ni bombardier.Moja ni short range kwa ajili ya soko la east Africa..nyingine ni medium range kwa ajili ya...
Monotheism au kumuabudu Mungu mmoja haikuanza na waarabu au wayahudi..Ilianza Misri..chini ya utawala wa mume wa Nefertiti...yaani Akhenaten..yeye alivunja sanamu zote ..akajenga mji mpya ..akauita Akhetaten ...mji uitwao Amarna na waarabu wa ukoo wa Amran..
Akhenaten aliweka alama moja tu ya...
Wengi wanaamini '' Mandela was a sell-out ''..kaacha waafrika wakiwa wanamiliki asilimia 30 ya ardhi ya babu zao.
Suala la kuua weusi linafahamika na lina ushahidi mwingi.
Hivi watanzania tuna matatizo ganii..yaani tukionywa hatutaki..tusipoonywa tunalalamika..ooh wanaojua kwanini hawakutustua..
Mi nafikiri wanaokupiga vita ni wadau flani wa hii kitu ..peperonity.
Kuna thread hii ..inaeleza jinsi serikali ilivyorejesha umiliki wake..tatizo naona ilikosa tafsiri..na hii thread ya kiingereza imedoda..
Why DART has delayed to operate: JPM
Usichanganye ishu..Mkopo wa wachina hauna uhusiano wowote na mkopo huu wa Stanbic ..yaani mkopo ambao ulisimamiwa na kina Kitilya..ingawaje fedha zote za wachina 1.225bilion dollars na mkopo wa Stanbic 600 mil. dollars zilielekezwa kwenye bomba hili. Labda unieleze kuwa mkopo wa wachina nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.