Wakuu hisense TV nchi 50 inauzwa
Smart TV
Ultra HD
Inapatikana kijitonyama,DSM
TV ina miezi 11, haijawahi sumbua
Inauzwa tsh 550,000
Mwenye uhitaji karibu PM tuyajenge
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Kongo, Mfalme JEAN BEDEL MPIANA wa TSHITUKA aka PAPAA CHERII aka MUKULU aka SOUVEREIN 1er aka BIN ADAM aka LEADER CHARISMATIQUE aka MOTO PAMBA ameamua kutuzawadia mashabiki zake na Albamu ya karne inaitwa "BELLE de MATCH"
Albamu hii ina jumla ya Nyimbo 24, hii...
Wakuu nlikua naomba connection kwa mtu yeyote anayeuza bampa la nyuma ya Toyota Ist second generation ya 2007, nlikula mkenge.
Kwa ambaye ataweza niuzia au kunielekeza pakupata bampa jipya la nyuma nitashukuru sana.
Wadau naamini JF naweza pata msaada juu ya hili suala?
Iko hivi kuna mkebe nimenunua hivi karibuni ila kuna kitu huwa nakiona kwenye dashboard huwa sikielewi, kitu chenyewe kinawaka kwa rangi ya "kijani" alafu yanatokea maandishi ya neno "ECO", kuna fundi nilimpelekea akanambia kuna shida...
Mda mfupi uliopita moto mkubwa umetokea katika kiwanda cha kusafisha mafuta Tehran-Iran, mpaka muda huu chanzo cha moto bado hakijajulikana wala majeruhi
Hili tukio limetokea siku moja baada ya meli kubwa ya kivita ya iran kushika moto
Massive Fire Breaks Out at Tehran’s Oil Refinery
By IFP...
Daktari Mohsen Fakhrizadeh ambae anasimamia masuala ya Nyuklia Iran, Ameuawa mapema leo baada ya gari aina ya nissan fuga alilokuwa amepanda kupandikizwa bomu na kupigwa shaba kadhaa na mtu aliyekuwa kwenye pikipiki, tukio hilo limetokea katika mji wa damavand, karibu na Tehran.
Mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.