Naomba msaada kutatua tatizo hili.Natumia Sony Xperia z2. Nimekuwa nikiitumia miaka yote kuconnect wireless Internet kwenye pc yangu.Ila leo imegoma na kunitolea ujumbe huu hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka mwaka 2000 nikiwa kidato cha pili BULUBA SECONDARY kwa wale wa shy town mnanielewa.Nilikatongoza kabinti kazuri kalikuwa kidato cha kwanza.Kidume nikaimba mistari kuanzia tunatoka shule Mpaka namfikisha demu kwao.Nikajua mtoto kanielewa na mambo yanaenda vizuri.Kesho yake nipo class...
Mh Makonda nimesikia maelezo yako kupitia clouds fm.Swala lako kuhusu Umoja uliouanzisha wa waendesha boda boda na jinsi mlivyojipanga kuanzisha kiwanda cha boda sembe.
Kupitia michango ya wanachama 50,000@tsh 5,000=250,000,000 kwa mwezi.Kwa pesa hiyo naamini wanachama wanaweza kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.