LUKUVI hakuna alichoongea,aje na uthibitisho kuwa alivuna miti kadhaa na kuthibitisha kuwa yote ilipelekwa idodi without that we will continue agreeing with DR SLAA allegations and we will prove how bigger MORON he is!!!!
Na bado, anafikiri hao watoto hawajui ugumu wa maisha uliosababishwa na serikali dhalimu ya mumewe???yeye ni mmoja wa watu wanaotafuna pesa za walipa kodi wa nchi hii kipuuzi kabisa, kutwa kiguu na njia, aende zake hukooo kwa chingaz wenzake.
Mpuuzi MEMBE anajifanya ana uchungu sana na izo pesa, si amkamate chenge na idrisa rashid wapo wanatanua hapa hapa mjini??? izo pesa zirudishwe kupitia charity org mana zikipelekwa tena serikalini hakuna chochote kitakachofanyika. mwenye no ya membe anisaidie tafadhali.
acha yalipuke tuu ndio watajufunza kuchukua tahadhari, hata pale DOM jirani na wanapofanyia semina elekezi naskia kuna kambi sijui yapo nayo yawafurumushe mle ndani maana wanatumbua kodi zetu tuu...!
Wana JF jana jioni nimemsikia huyu kibonde akisema kama serikali imeamua kukopa katika benki za ndani ili kulipa mishahara ya watumishi wake haina neno so long as itakaporejesha deni hilo fedha izo zitatumika kuinua uchumi wa humu humu nchini,kivipi wachumi naomba mnisaidie??serikali ikope...
umeshamsikia nape akibwabwaja tena?? kwisha habari hakuna wa kuwasogelea tena hawa jamaa,jtatu ya pasaka EL alikuwa ikulu na ****** unategemea kuna nani wa kumuadabisha??? kwishney...
Waziri wa mambo ya nje bw. membe naona ni kama ametoswa "KWISHNEY" 2015 maana kuchomolewa kwake pale kwenye CC ni kama kifo chake kimewadia kisisa.sijui hii mijizi ya ccm itatuwekea nani 2015.naomba tujadili wanajf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.