Wadau nisaidieni.
Inakuaje au unafanyaje ili uweze kujitambua!
Kwa maana nyingine, mtu anaejitambua yukoje? maana kuna watu wengine wana maringo kinoma, je ni mojawapo ya sehemu/dalili za kujitambua?
Naombeni michango yenu.
Tutiririke wakuu.
hi everybody....
Kiukweli maisha yana formula, na kuna vitu ambavyo lazima ufanye ili utoke.
baadhi ni;
1. Kumuomba MUNGU
2. Kufanya kazi kwa bidii
3. Kuwa na roho ngumu
4. Kuwa mvumilivu
5. kupunguza bata (ubahili)
6. kuweka mapenzi pembeni
Haya ni baadhi, hebu tupia vingine...
kama we ni mdada, unahisi unajiamini na ni mtu mzima unaejielewa (i mean +18). na unahitaji kuwa kwenye mahusiano yaliyo serious, umri usizidi miaka 28. plz nipm.
nota bene; kama haikuhusu pita kimya kimya. bt kama upo tayari plz nitxt pm. npo criaz.
be blexed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.