Hotel nzuri na ya kisas itafunguliwa hivi karibuni karibuni wanajamvi:kuna vyumba vya kulala,self contain,bwawa la kuogelea,michezo ya watoto,pamoja na club ya kisasa kabisa karibuni sana!
Hodi hapa ndani kwenu madakitali napenda nieleweshye kama mwanamke aliye wahi kufanyiwa upasuaji na kuondolewa milja yake yote miwili anaweza akapata siku zake kama kwaida.Naomba mnijuze tafadhali.
Abiria wanao safiri na greenstar kutoka Dar kwenda Mwanza mpaka muda huwa wamekwama Chalinze polisi halafu hakuna juhudi zozote zinazofanya kuwakwamua hapo.Kama biashara ya wakati ule ya Scandinavia iliwashinda sijui kama mtaweza zama hizi.
Sijawahi kuona na wala sikutegemea,nifika jana hapa hospitali ya mkoa songea jana usiku kumleta mgonjwa kitu tulicho kutana nacho nicha kusikitisha sana.kwa hospitali kubwa kama hii huwezi kuamini kuna daktari mmoja tu wa zamu sijui hii imekaaje,ni hatari sana kwa watanzania masikini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.