Hii ni kweli? Eti Lowasa na Chenge wamechukua form za kugombea uspeaker wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa TZ?
Na kama ni kweli, ni nini mustakabali wa taifa hili endapo mmoja wao atafanikiwa kuwa speaker?
Mimi simfananishi na Martin Luther King, ila naomba niseme Dr. Wilbrod Slaa ni Jiwe kuu la pembeni lililokataliwa na waashi, kama tunavyosoma katika vitabu vitakatifu.....
Whatever it is, inaonesha ni jinsi gani CCM hawako serious na maslahi ya inchi..
Haiwezekani mtu ambaye amepewa urai, afikie hatua ya kupewa madaraka makuba kama aliyonayo Kinana. Ukizingatia ni msomali, potelea mbali hata kama nitaonekana ni mbaguzi. Lakini msomali si wa kumpa nafasi ya juu...
Kwa mwenye data kamili, mpaka sasa ni majimbo mangapi yameshachukuliwa na wapinzani?
Maana jana Kinana alisema ni majimbo 29 bara ccm wamepoteza na 22 visiwani...
Je idadi ni hiyo kweli????
Yeah, ni kweli ni vizuri tukatoa habari ambazo ni confirmed, tusije tukaanza kushangilia kitu ambacho hatuna uhakika nacho...baadaye inauma sana...hasa pale tunapongundua habari haikuwa ya ukweli..lets be serious..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.