Wanafanya kuchelewesha tu lakini uwezo wa kubadirisha chochote hawana kwa upande wa Ubunge labda wachakachue kura za urais, lakini Chadema amechukua hilo jimbo na hilo halina ubishi.
Nilisikia eti CHADEMA wameshinda viti vya udiwani vitano na CCM sita sasa hapo napata mashaka kama kama kura zikienda kama zilivyaokuwa kwa udiwani basi hali ya Mdee inaweza kuwa tata.
Yoyote mwenye data za uhakika atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.