Search results

  1. S

    Mzee Warioba aanguka ghafla Serena Hotel; yadaiwa ni uchovu; ni mzima

    Inawezekana ni stress tu za kazi na umri jamani...we should not go far; let us pray for him ili Mungu ampe nguvu ya kufanya hii kazi kubwa ya katiba.....
  2. S

    Nimesikitishwa sana baada ya kuona kwenye CCTV vitendo alivyofanya shemeji yangu.

    kama mume wake hasemi kitu why do we bla bla bla on the issue? Plus who among us can point the finger to her, while three fingers are pointing back to us? Think about it...
  3. S

    Nassari wa Arumeru Mashariki kushtakiwa kwa uhaini? Anatafutwa na Polisi

    a good and polite advice: when you go to a community (such as JF), you need to learn first....see what you are able to see on the outside-which is easy...but before you engage, continue to peel the onion until you see the values, the reality, and the truth about such a community. Usibweteke tu...
  4. S

    Nassari wa Arumeru Mashariki kushtakiwa kwa uhaini? Anatafutwa na Polisi

    ameona JF ni mahali pa ku-jifunzia kuandika....msameheni tu huyu jamani....but lazima aangalie kuweka statements ambazo hana expertise nazo...
  5. S

    Mama Lwakatare acha ulaghai

    Mlaghai sana huyo mama, amaetumia dini kujipatia mali....kwani atakwenda nazo kaburini? Wote watatoa accountability mbele za Mungu na huko hakuna favors....
  6. S

    Nimjuavyo olesendeka mbunge wa simanjiro!!!

    UUUUUHHHHH balaa kabisa huyo...hafai kabisa kuwa kiongozi katika jamii...si at-endorse rape. polygamy and all kinds of injustice...nimeshangaa sana
  7. S

    Arumeru kunazidi kupamba moto!

    Naona hizi mbio zitakuwa kali kweli...my prayers to the path of truth and justice.....
  8. S

    Mitandao isitumike kumchafua Rais

    pole ila nafikiri magazeti au media inaripoti yale ambayo yameshatokea na hata kama hayataandikwa bado hayatafutika....yatajulikana tu...big figures ni target za media and somehow that is the prize they have to pay for being "big." It happens everywhere sio Tanzania tu......
  9. S

    Utamu wa penzi la mume wa mtu.

    tueleze wewe mleta hoja, nadhani una experience or umeshatafakari vya kutosha kabla hujaposti hii hoja....:eyebrows:
  10. S

    Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

    Dr ndiye mwenye neno la mwisho katika hili...plus naunga mkono wote wanaosema kuwa Slaa ana kazi kubwa katika chama na si kurukaruka kutafuta kazi ya ubunge jimbo ambalo sio lake wala hakai huko. Wako watu mahiri wa CDM huko Aru-East....
  11. S

    Propaganda za uongo: Elimu bure, CHADEMA ikishinda

    very possible, mbona nchi zingine zinafanya hivyo? Shida ni wakuu wetu waangalia tu matumbo yao yasipungue...lakiini yatapungua tu siku moja....
  12. S

    Mbunge Chiku Abwao apata ajili, anusurika kifo

    mmmmmhhhhh wametumwa nini? Pole Mhe. Chiku, Mungu akulinde
  13. S

    Sioi Solomon Sumari kugombea Arumeru

    Upinzani kuna majina yapi jamani huko Aru Mashariki?
  14. S

    What is JK Vision for Tanzania

    Has "vision" ever been in his vocabulary....Happy New all
  15. S

    Zitto Kabwe arejea

    Karibu nyumbani mwanaharakati....tunakuhitaji...Mungu akutunze na kukupa nguzu zaidi...maobi yanaendelea juu yako
  16. S

    Kitendawili kimetegwa - Kikwete Tegua...

    Viva....thanks Mwanakijiji for this excellent piece...kazi kwake Raisi wa CCM
  17. S

    Bungeni: Ngonjera yaendelea! Wabunge waendeleza mipasho dhidi ya CHADEMA (Nov 17)

    Paza sauti, lia hadi pandez zote za nchi....wananchi ndio watawadharau zaidi.....sasa wanajua kuwa wananchi wana power....wakati wanapobanwa!!!Vinginevyo, wananchi ni kwa kutumia tu kama ladder ya kupandia and then to be thrown and trampled upon...Not at all, wananchi wameamka na bado....
  18. S

    Anne Kilango asoma biblia kuhalalisha rais kuunda tume ya katiba

    The Biblle speaks about "righteousness, justice with regard to leaders......read this in the light of JK's leadership and see if he does as the Holy Word says: 1Give the king your justice, O God, and your righteousness to a king's son. 2May he judge your people with righteousness, and...
Back
Top Bottom