Inawezekana ni stress tu za kazi na umri jamani...we should not go far; let us pray for him ili Mungu ampe nguvu ya kufanya hii kazi kubwa ya katiba.....
kama mume wake hasemi kitu why do we bla bla bla on the issue? Plus who among us can point the finger to her, while three fingers are pointing back to us? Think about it...
a good and polite advice: when you go to a community (such as JF), you need to learn first....see what you are able to see on the outside-which is easy...but before you engage, continue to peel the onion until you see the values, the reality, and the truth about such a community. Usibweteke tu...
Mlaghai sana huyo mama, amaetumia dini kujipatia mali....kwani atakwenda nazo kaburini? Wote watatoa accountability mbele za Mungu na huko hakuna favors....
pole ila nafikiri magazeti au media inaripoti yale ambayo yameshatokea na hata kama hayataandikwa bado hayatafutika....yatajulikana tu...big figures ni target za media and somehow that is the prize they have to pay for being "big." It happens everywhere sio Tanzania tu......
Dr ndiye mwenye neno la mwisho katika hili...plus naunga mkono wote wanaosema kuwa Slaa ana kazi kubwa katika chama na si kurukaruka kutafuta kazi ya ubunge jimbo ambalo sio lake wala hakai huko. Wako watu mahiri wa CDM huko Aru-East....
Paza sauti, lia hadi pandez zote za nchi....wananchi ndio watawadharau zaidi.....sasa wanajua kuwa wananchi wana power....wakati wanapobanwa!!!Vinginevyo, wananchi ni kwa kutumia tu kama ladder ya kupandia and then to be thrown and trampled upon...Not at all, wananchi wameamka na bado....
The Biblle speaks about "righteousness, justice with regard to leaders......read this in the light of JK's leadership and see if he does as the Holy Word says:
1Give the king your justice, O God,
and your righteousness to a king's son.
2May he judge your people with righteousness,
and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.