Search results

  1. R

    Msaada: Wapi nitapata Gutter imara?

    Wakuu wenye uzoefu kwenye hili suala la gutter, naomba mnijuze wapi nitazipata gutter zenye ubora/ngumu? Bei yake nayo ipoje? Kuna brand maalumu ambayo ni imara zaidi ya nyingine?
  2. R

    Msaada:mwenye uelewa juu ya solar

    Kuubadili mfumo wa taa kutoka AC kwenda DC kutahitaji kifaa gani? Wire itabidi ubadilike? Nahitaji kujua hiyo gharama ya ziadi itakuwaje Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. R

    Msaada:mwenye uelewa juu ya solar

    Mkuu hizo pasi unauzaje? Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. R

    Msaada:mwenye uelewa juu ya solar

    Asante mkuu, Hivi mfumo mzuri ni upi kati ya AC na DC kwa maana ya kuwasha taa kwa muda mrefu. Watumiaji wa solar wanaweza tuambia hili kwa uhakika zaidi. Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. R

    Msaada:mwenye uelewa juu ya solar

    Mkuu wiring imeshafanyika ya kawaida sasa sijajua kama itaendana na mfumo wa DC. Kwahiyo nilikuwa nafikiri itabakia AC. Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. R

    Msaada:mwenye uelewa juu ya solar

    Wakuu miye nahitaji solar ambayo inaweza kuwasha TV yenye kisogo ya inchi 32, taa 16, pasi ya solar na redio kubwa. Sijajua nahitajika ninunue panel ya ukubwa gani, inverta na betri ya ukubwa gani? Charge control pia zinatofautiana ukubwa? Tafadhali mwenye ujuzi katika hili
  7. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Hili ndo hawataki kulisikia kabisa
  8. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Huku ni kutudhulumu haki zetu. Kama kitu hakitekelezeki bora wasingekiweka tu
  9. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Ina maana nikifunga safari kwenda Dodoma nitalipwa kutokea huko huko Dodoma? Jamani kwa yoyote mwenye ushuhuda juu ya hili tujuzane.
  10. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Ndugu yangu ChiefmTz hayo matatizo yapo hasa ofisi ya kanda ya mashariki, i mean Dar. Head office-Dodoma hakuna shida, huduma zao utazipenda, ila huku kwenye kanda ndo kwenye vimungu mtu. Najua inawezekana ikawa sababu ya kazi za kujuana ndo maana wanaona hakuna wa kuwawajibisha. Kazi mtu...
  11. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Ndugu yangu ChiefmTz hope umemsikia ndugu tofali naye anachokisema. Nakumbuka kuna siku mfanyakazi aliyekuwa ananihudumia alishaniacha kwenye meza yake namngojea, kumbe yeye katimkia mjini kwenye mambo yako.
  12. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Amini usiamini huu ni mwezi wa sita sasa naambiwa file langu lipo kwenye stage nzuri ya malipo na litalipwa muda wowote. Haya nilianza kuambiwa toka mwezi wa pili, mpaka sasa mwezi wa sita. Kama mwenzangu ulipata (au unafanya kazi hapo), shukuru ila wengine tunajiuliza kama hii hela ndogo...
  13. R

    Msaada kwa Wanachama wa LAPF

    Hivi kuna mtu alishawahi pata hili fao la uzazi kweli? Maana miye nimefuatilia mpaka nimekata tamaa mwenyewe, kila siku dana dana.
  14. R

    Msaada wa modem

    Nashkuru mkuu Mayu kwa kushare uzoefu wako katika hili
  15. R

    Msaada wa modem

    Yaah ina chapa ya vodafone mkuu rickymj
  16. R

    Msaada wa modem

    Mkuu ni Huawei-Model K3765. Kuna ujanja wowote wa jinsi kuitengeneza au kuitupa tu ndo kilichobakia?
  17. R

    Kwa wajawazito

    Mkuu kwanini unashindwa kusema kwamba umeinakili hii mada yako kutoka hapa http://mwanamkeuzazi.blogspot.com
  18. R

    Msaada wa modem

    Mkuu nami nina tatizo na modem yangu. Awali ilikuwa inaunga ila sasa inapata moto sana na haikubali tena kuunga net. Wataalamu tujuzeni kama ndo ishaungua niitupe au kuna jinsi ya kuitengeneza?
  19. R

    Sababu 10 muhimu zinazonifanya ninywe maji safi

    Hili darasa ni zuri sana MziziMkavu
  20. R

    Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

    Huu ni upepo tu na utapita!
Back
Top Bottom