Nimechoshwa Na Upweke, Nimechoka Kutapeliwa, Naomba Nifunguke Kwako Juu Ya Moyo Wangu Japo Sina Mali Japo Sina Mahari Na Sijapata Mpenzi.
Kuhusu Maisha Yangu... Mimi Sina Ajira Yoyote Zaidi Ya Kuhaso Kila Asubuhi Kutafuta Riziki.
Nimepanga Mwenyewe Mjini/ Dar,
Umri Wangu Miaka 24.
Asili Yangu...
Ndugu Wana JF,
Nimejitokeza Kuomba Ushauri Na Msaada Wenu.
Mimi Ni Mjasiriamali Mdogo Ambaye Nimejaribu Sana Kwa Kutafuta Na Kuomba Mtaji Lakini Sijapata Mwanga Ninaohitaji.
Naomba Mnisaidie Namna Rahisi Ya Kupata Mkopo Ukizingatia Sina Mali Wala Mdhamini Kunidhamini Katika Jambo Ninalohitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.