Aisee hii siku nilipata marafiki wapya ambao mpaka leo nipo nao. Sijawahi kufurahia kifo ila hii siku nilicheza sana mziki na nilikunywa bia nyingi sana
Aisee niliezaa nae alikuwa ni shida. Akianza kuongea taratibu nilikuwa nanyanyuka naenda zangu Bar mpaka mida mibovu maana ilikua nikbaki ili anyamaze ni lazima nimzibue makofi tena kwa taadhari kubwa sana maana ilikuwa akichomoka hapo kama kuna chupa, sufuria au chochote lazima anirushie...
Hahahaha. Ila Mungu anawaona mjue. Niliwahi kutoa hela tena ya mkopo ili akatibiwe. Kesho yake kwa mara ya kwanza nikapigiwa whatsapp video call wakati najua simu yake camera ya mbele mbovu. Nikachezwa na machale nikamuambia anitumie screenshot na yeye bila kujua akanitumia. Nikachunguza...
Hapa Makere Kigoma karibu na Nyarugusu hali ni shwari kabisa. Tupo sokoni tunahemea tukisubiri muda wa kugonga mbuzi katoliki wenye rangi nyeusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Balvejmumt, Kabisa mkuu. Nashukuru nimeweza kutimiza siku tatu bila kuwa na mawasiliano nae na natumaini Mungu ataniletea mwenza sahihi maishani mwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamua kuachana nae mkuu. Maana nilimpa hadi nafasi aweze kufuta kama kuna kitu kibaya lakini bado hakufanya hivyo ikimaanisha anavyonificha vina umuhimu sana kushinda mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteni wakuu. Maoni ya wengi huku yameonyesha huyu mwanamke hayupo safari moja na mimi.
Kwa kuwa lengo langu ni kutafuta mke na sitaki kupotezewa muda nimeamua kuachana nae rasmi jana.
She cried a lot lakini bado akashindwa kuniambia ni kitu gani alikuwa ananificha.
Asanteni
Sent using Jamii...
Na sio kila wakati tunapoomba simu tunataka kuchunguza kitu. Wakati mwingine tunawapima imani tu.
Mahusiano yangu ya mwisho kabla ya huyu binti yalivunjika kwa sababu ya simu.
Sikuwahi kuishika simu yake kabisa na nilikuwa naishi nae bila ndoa.
Nilisafiri kikazi ila bahati mbaya nikiwa mkoani...
Aisy, Hichi ndicho nilichokifanya day one alivyokataa nisishike simu yake.
Anyway nadhani majibu niliyopata huku yamejitosheleza kuona kuwa huyu sio mwenzangu tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.