Wanajamii nisaidieni kutafuta kazi ya uwanasheria. mimi nina Degree ya sheria toka Chuo kikuu cha Dar es Salaam pia nimepita Law school of Tanzania. yoyote atakaepata tuwasiliane kwa namba 0787559619
mimi nimeolewa na nina mtoto mmoja wa miaka 2 nakaa Sinza. nahitaji msichana wa kazi a.k.a Housegirl. ple wapendwA nipo seliasi. wasiliana nami 0713775173
Nahitaji msichana wa kazi za ndani awe
mchapakazi
umri usizidi 21
awe mkristo
atakuwa anakaa kwangu
Mshahara maelewano
atakaempata awasiliane nami kwa namba 0713 775173
ipo moja hapa sinza vaticani ina vyumba vitatu, sebule jiko. choo na bafu viko nje, fensi na paking ipo. sh 200,000 kwa mwezi. kodi ya mwaka inahitajika.
Wanajamii nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya sinza, mwenge, kijitonyama au kinondoni. Kodi isizidi laki mbili na nusu kwa mwezi. wasiliana nami 0713775173 au 0757818564
nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya sinza, mwenge au kijitonyama. vyumba vitatu vya kulala, jiko, dinining room, choo cha ndani. kodi isizidi laki mbili na nusu kwa mwezi. wasiliana nami 0713775173
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.