Achana na mawazo ya kumloga mshindani wako mkuu, ukienda Kwa mganga safisha nyota Yako weka sawa biashara Yako.
Mshindani wako (ikiwa hakulogi ama kukufanyia mabaya) huyo ndio atakufanya uwe imara zaidi.
Huwezi kuepuka ushindani na kuiga.
Pole sana ndugu...
Achana na habari ya kutupiwa kipande kwanza
Una tatizo Moja kati ya haya mawili
1.Kifungo
Ama
2.Una uchawi umelishwa shughulikia Hilo.
Though I'm a Christian, ila usipende kuwaamini sana watu wa Kanisani...
Mkuu sidhani huyo kama ni msukuma.
Haji na mganga Ili ambebee dawa ila mganga anakuja kuzindika hapo mnapoishi.
Kaambiwa kuna wanga wanawasumbua ndio sababu.
Inaonekana kuna watu wanawapiga faraka.
Dawa ya kukudhuru sio lazima mganga aibebe.
Ataibeba mke wako na atakuwekea bila KUJUA.
Acheni kudiscourage vijana wanaopambana, unajua huku Africa mambo hovyo Kila mtu ni kuingiza fitna katika Kila jambo...
Mkuu wewe pambana nenda na Facebook, na Instagram uwe na official page utatoboa, kuwa na Imani sali sana utatoboa.
Kumbuka Ili ufanikiwe ukiwa Africa haitegemei ufanisi wala...
Mkuu umetekwa katika ulimwengu wa kiroho, huyo Mwanamke na mama yake wote ni wachawi, Umefungwa.
Ni wachawi japo ukisoma post yangu utadharau maneno yangu.
Unajua kuna tatizo linalowapata watu wenye UTAJIRI wa akili, kuamini Kila mtu anawapenda, kuamini wako salama wakati wote, kuamini hakuna ubaya utawapata.
Wasiwasi na mashaka ni tabia nzuri sana japo wengi huzipuuza.
Binadamu huumia mwenzake kupata kitu Cha thamani, na huumia zaidi kuona yule...
Mtafutieni mafuta ya mzeituni hayatalitoa ila yatalituliza ajipake na kunywa asubuhi na jioni.
Akiweza Kwa kujipaka achanganye na vitunguu swaumu vilivyotwangwa.
Atapata afueni kubwa.
Kumtoa jini mara nyingi itahusisha kafara la Damu, Kwa hivyo ukienda Kwa mganga akakuagiza mnyama kuna...
Hv mtu atese wenzake Kwa kuwaua, ama kuwaloga ama kuwauzia madawa ya kulevya.
Ama mtu anachezea wanawake hovyo na mengineyo,
Alafu useme sio sahihi kuadhibiwa.
Mbona haupingi uwepo wa mahakama na magereza za hapa duniani?
Mleta mada umeleta mada ambayo Ina mambo mawili yanasigana,
1.Umesema mzungu HAWEZI kukuandikia kitabu Ili ufanikiwe
(Nakubaliana na wewe, lakini mafanikio ya aina yoyote ni lazima yahusishe ulaghai wa maarifa.
Kwa hivyo ni kweli hakuna mtu atakufundisha kufanikiwa.
2.Umesema wanasansi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.