Conspiracy theorist na ndo lengo lao mnaojifanya wajuaji kama ninyi mdiverge from the truth
Brother there are secrets I believe but they won't reveal to mere slug head like you
Everything you read in the internet it has been controlled it will end up accelerating their agenda behind the scenes
Wewe kwa akili zako unahisi lingekuwa jeshi legelege angeishi pale na maadui pande zote? Ndo maana hata Iran hajapiga full scale war amerusha tukombora tu halafu akatulia...
Tatizo ukikosana na mange tusi la Kwanza atakusingizia una ngoma😁😁
Sasa mwanawane wakikuzushia una mzigo mpaka uje uprove wrong ushakosa bebezi kibao mtaani Bora kubandika bandeji mdomon
Wewe hizi habari za US kuiogopa Iran umezijulia wapi? Zile kambi kweli zilipigwa je walikufa wanajeshi wangapi? Wao walimuua jenerali wa juu kabisa navyojua Mimi Irani alipoteza zaidi
Vitoto hivi havijui maana ya Vita!
Unadhani ni sifa kupigana pekeyako ndo maana nchi yenu masikini mpaka leo japo mlisaidiwa na china kupigana na Uganda
Kwa watu Kama nyie ilitakiwa huyu mama aturudishe kwenye zile moments za kimagufuli yaani tuifeel Ile pinch
Watanzania ukitaka kuwaweza display all presidential Powers akiendelea kucheka 😀😀 watamiharibia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.