Gharibu Mzinga jamaa anaifanya assignment yake vizuri sana, anaupa matukio ya miaka iliyopita, história ya team na mchezaji mmoja mmoja. Bundesliga hana mpinzani kule na huku NPL ashaanza kuingia taratibu
Walivyo na kelele unaweza sema wana team kumbe wapi, Simba kuna planners wazuri na wanafanikiwa... UTO hawana watu, wakaona bora wamchukue Ashura Cheupe awashauri [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umezunguka sana ila kwenye hoja yangu ni kuwa Simba inakaribia 40ml not exactly, na hata unaposema vichaa nahisi ni wale alowajumuisha Ashura Cheupe kuondoa wale wazee wawili[emoji23][emoji23]
Ila kusema wengine hawajui mambo ya simba na UTO sijui, maana karibia kila mTanzania anaijua...
Baada ya kumsikia afisa Habari wa Yanga Ndg. Kamwe akitaja IDADI ya mashabiki wa team yake kuwa ni kama ml. 20, na takwimu zilizosomwa Leo na Mh. Rais Samia kuwa waTanzania tupo ml. 61, hii tafsiri yake kuwa Simba ina fans wanaokaribia mil. 40.
Hii imechagizwa na idadi kubwa ya Watanzania...
Kwa ndani kabisa, haya mambo ya Ukatoliki na Uislam tunashindwa kuwa na common say towards viongozi wetu. Wametugawa nasi tukawezekana. #UdiniUkristoVsUislam. Viongozi wote have got both strengths and weaknesses
Nimekuwa naamini kama ni mchezaji nzuri kwenye team na anahitajika mno kwa local players, amekuwa akifanya kila jitihada na kudeliver kile mchezaji anapaswa kwa team yake.
Ukata wa MAGOLI kulimnyima hali ya kukjiamini, na lilikuwa linasubiriwa kwa hamu kwake yeye, bench LA ufundi na wachezaji...
Mpaka anaingia kaburini hajatoa ufafanuzi wa upotevu wa 1.5 trillion, hakuajiri, hakuongeza mishahara wala promotion, kusitisha haki za watu kuishi (ref. Kibiti), pesa za tetemeko, makinikia bado hakuchenjua, hatujui what happened to Lissu, amedhoofisha taifa na kukitia aibu chama chake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.