Nitakula bata kadiri niwezavyo, na siku ijapofika inikute nikiwa batani, privately, nyumbani, na watu wangu ninaowapenda, na kila aina ya shangwe...
#Masambewena
Michezo fulani imekaa kitamaduni zaidi na inawabeba kweli akina fulani. Wala sio ishu sana kukosa medali, muhimu ni kutengeza 'industry' imara hapa nyumbani
Hakuna mahali nilikotaja ukahaba mimi, kwa kuwa najua ni brand tu hiyo... Watu tushazushiwa mengi mitaana hadi level za familia. Kama una la kupinga pinga hoja za post ya kwanza; mfano niambie kuwa Wema hajawahi kushinda Taji la Miss Tanzania, hamiliki moja ya kampuni chache za filamu na...
Aisee ningekuwa mwanaume ningemweka ndani huyu bibie. Anafaa kuwa mke ndio, tena mwema, fighter na anayejua kucheza na akili za watu...
Mengine ni maneno ya magazeti ambayo hata kama yangekuandama wewe ungeonekana kituko.
Kwa mujibu wako. Mimi nawajua viongozi wa makahaba ambao ni wakuu wa mashirika ya Umma na wanasiasa wakubwa, bila kusahau mashoga. Madam Wema Sepetu ni mwanamke jasiri, malkia wa nguvu... Kila sekta ana mafanikio, hadi siasa ambayo amethubutu kugombea Ubunge wakati akina nyie mkibwabwaja...
Pool Table tumecheza Embasy Hotel kabla Magufuli na Makonda hawajaja mjini, token buku enzi hizo...
Kwa sasa tujadili laana ya Madam Wema Sepetu ambayo inaweza kutupata kama hatujamtaka radhi.
Diamond ni msanii wa Afrika, Ali Kiba ni Balozi wa Kimataifa wa kupinga ujangili. Rose Muhando, Belle 9, Navy Kenzo na wengine wana mikataba na makampuni ya kimataifa ya muziki. Hot Lulu na Richie wamekwala tuzo juzi, Bongo Movie inaenda kimataifa na wewe upo hapa unahubiri safari ndefu...
Hii nchi kuwa houseboy wa Madame Wema Abraham Sepetu ni zaidi ya kuwa na Degree ya Kwanza ya chuo cha umma, ni zaidi ya kada nyingi sana Serikalini. In fakt ikitokea madam akataka niwe hausiboi wake nitabarikiwa sana.
Huyo sio Miss, ni Miss Tanzania 2006, nafasi ya kitaifa na ambayo mshindi huwakilisha Taifa. Kuna kipindi interest za Madam zilikuwa ndio interest za Taifa na siku ikitokea Madam akatangulia basi ni msiba wa kitaifa.
Ndio maana 'Wema Sepetu' wa 2014 alipokutwa na sakata la kufoji umri...
Inaniuma sana mkuu. Wakati mwingine hizi ni laana za Kitaifa. Imagine mtu anamchukia Wema wakati hajawahi kumfanya lolote, wanaacha kuwamaindi waandishi uchwara ambao kila leo wanawaharibia watu wanyonge maisha, kwa kuandika habari zao bila faraga wala kificho.
Naamini tukiwachukuza GPL na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.