Siyo kwamba nao wanaandamana kisirisiri maana lengo la maandamano linamgusa kila mtu hapa nchini, sote tunaguswa na ugumu wa maisha, wazee wetu kuibiwa pesa zao kwa jina la kikokotoo.
Unaweza ukapitiwa ukasema huyu ni "mshenzi sana" amejaa ubinafsi, unyang'anyi na kukosa adabu mbali na huruma kwa wengine.
Mtumishi analipwa mshahara mdogo ukilinganisha na kazi kubwa anayoifanya halafu hata mafao yake mmbane kwenye kikokotoo na kumpangia achukue kiasi gani kwa mkupuo hali kwa...
Trafiki wanafanya jambo jema hapo barabarani kukamata hao wasafirisha wahamiaji haramu ila sijui kwa upande wa ndege zinazobeba tembo na twiga wetu kama zinapigwa hata mkono, jamaa ndio maana walitaka trafiki waende likizo ya kudumu.
Kama kinachoogopwa ni uchawi japo si kwa kila mtu, kwa nini Sumbawanga na Kigoma kwa wachawi na waganga wa kila aina kuna wizi? Zanzibar na Pwani kote kwa watu wenye ulinzi shirikishi wa majini na maruhani kuna wizi hadi wa yebo katika nyumba za ibada, kwenyewe wazi hawagopi?
1. Pesa/mali kila mtu anayo ya kutosha siyo kama zile sehemu za wazee wa sokoni 7days/week.
2. Hawana tamaa za hovyo hovyo juu ya mali ya mtu
3. Maadili mema ni jadi yao
Kwa akili zetu na uwezo wetu mdogo katika mambo ya sayansi na teknolojia hata wangeweka virutubisho hivyo mbele ya mkemia mkuu wa serikali, ofisi yake nzima, TBS na TFDA bado wangetula vichwa tu kama nia yao ni ovu.
Tusipende vya bure na tulipende Taifa letu, haki itamalaki kwa wote.
Kula majani hayo ni mboga safi sana na salama. Kuuogopa ni sawa na kuogopa mtama mwekundu kwa rangi yake hali mababu zetu huko Kishapu, Bariai, Maswa, Igunga n.k wamekula na walikuwa imara zaidi ya wala mahindi ya panna, zam seed n.k
Kikokotoo cha wastafu na fao la kujitoa tu vimewashinda kwa nini msijadili vyoo kitu ambacho ni changamoto katika shule, zahanati, hospitali na stendi za mabasi na daladala nchini?
Serikali au wizara husika kama nyumba na makazi, biashara na uwekezaji na katiba na sheria wakalitazame hili na kutoa mwongozo mara moja.
Mfumo unaotumika kwa sasa wa kutamatisha upangaji kwenye guest houses, lodges na mahotel kila ifikapo saa nne asubuhi bila kuzingatia muda aliowasili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.